Psalms 59:1

Kuomba Ulinzi Wa Mungu

(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Usiharibu. Utenzi Wa Daudi. Wakati Sauli Alipotuma Wapelelezi Nyumbani Mwa Daudi Ili Wamuue)


1 a bEe Mungu, uniokoe na adui zangu,
unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.
Copyright information for SwhKC